Yanga vs jkt oljor

Yanga imeendeleza ubabe wake  wakupiga Tatu tatu   ilishinda mchezo wake wamwisho  wakukamilisha mzunguko wa kwanza wa ligikuu tz bar a  dhidi ya jkt oljoro  ilio fungwa 3-0 katika uwanja wataifa  kwasasa yanga wapo  killleleni mwaligi  kwakua NA alama   28     wakufatiwa na  azam NA mbeya city wrote wakiea na  a lama sawa  27



Written by

0 maoni: