KUNDI GUMU KULIKO YOTE KOMBE LADUNIA

Linalo semekana kua  ndio kundi LA kifo katika michuyakombe ladunia litakalo fanyika June 2014 RONALDO  amezunguzi kundi lao akisema "kiukweli nlikua nimelala wakati drop ya kupanga makundi inafanyka  tunapaswa kujtahidi mno kwani kundiletu no gum sana kiukweli" maneneno hayo alikuwa akiyazungmza mbele ya wachezaji wenzake   huko Madrid. Drop lilifanyika ijumaa iliopita   kundi hilo nikundi G ambalo lina  pambwa NA Tim za ujerumani, Ghana , u s a ureno    zote zikiwa nitim bora 



Written by

0 maoni: