Picha ya uwanja utakaojengwa kutumika wakati wa michuano ya 2022 Mwenyekiti wa shirikisho la kandanda ulimwenguni, FIFA, Sepp Blatter, amesisitiza ilikuwa kosa kuchagua Quatar kuwa mwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2022. Katika mahojiano na televisheni nchini Uswizi, Sepp Blatter aliulizwa iwapo kuiruhusu Quatar kuwa mwenyeji wa kombe hilo ambalo huchezwa kati ya mwezi Juni na Julai ilikuwa kosa, hasa ikizingatiwa kuwa hali ya hewa katika nchi hiyo hufikia hadi nyuzijoto 50 wakati huo. Alijibu kwa kukiri na kuongeza kuwa kila mtu hukosea maishani. Alipinga madai kwamba taifa hilo lilikuwa limelipia michezo hiyo. Aliongeza kuwa kamati inayojumuisha maafisa wa FIFA walikuwa wamedhibitisha uwezekano wa taifa hilo kuwa mwenyeji ijapokuwa walikuwa wamepokea taarifa kuhusu vipimo vya juu vya jot.
0
maoni
12:21
Imechapishwa na
Madolla
MOHAMED MATUMLA AMGALAGAZA NASSIBU RAMADHANI KWA POINT NA KUIBUKA NA PIKIPIKI
| Bondia Lulu Kayage kushoto akipambana na Mariam Abdallah wakati wa mpambano wao wa kusherehekea sikukuu ya krismas kayage alishinda kwa k,o picha na |
| lulu akinyooshwa mkono juu baada ya kushinda |
| Bondia Lulu Kayage kushoto akipambana na Mariam Abdallah wakati wa mpambano wao wa kusherehekea sikukuu ya krismas kayage alishinda kwa k,o picha n |
| Bondia
Hamis Ajari kushoto akipambana na Cosmas Cheka wakati wa mpambano wao
uriofanyika wakati wa sikukuu ya krismas cheka alishinda kwa point pic |
| Bondia
Sadiq Abdulazizi kushoto akipambana na Juma Fundi wakati wa mpambano
wao uliofanyika wakati wa sikukuu ya krismas juma fundi alishinda kwa
point mpambano uho picha na |
| Baadhi ya mashabiki waliouhulia mpambano huo uliokuwa mkali na kutoa burudani ya aina yake kwa mashabiki nchini |
Search This Blog
Wednesday, December 25, 2013
MOHAMED MATUMLA AMGALAGAZA NASSIBU RAMADHANI KWA POINT NA KUIBUKA NA PIKIPIKI
| Bondia
Mohamed Matumla kushoto akimwadhibu Nassibu Ramadhani wakati wa
mpambano wao wa raundi kumi uliofanyika siku ya sikukuu ya krismas na
kugombania pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni 1.9 Matumla
alishinda kwa pointi mpambano huo na kuibuka na bodaboda picha na www.superdboxingcoach. |
| Bondia
Mohamed Matumla kushoto akipambana na Nassibu Ramadhani wakati wa
mpambano wao uliofanyika siku ya sikukuu ya krismas na kugombania
pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni 1.9 Matumla alishinda kwa
pointi mpambano huo na kuibuka na bodaboda picha na www.superdboxingcoach. |
| Bondia Lulu Kayage kushoto akipambana na Mariam Abdallah wakati wa mpambano wao wa kusherehekea sikukuu ya krismas kayage alishinda kwa k,o picha na www.superdboxingcoach. |
| lulu akinyooshwa mkono juu baada ya kushinda |
| Bondia Lulu Kayage kushoto akipambana na Mariam Abdallah wakati wa mpambano wao wa kusherehekea sikukuu ya krismas kayage alishinda kwa k,o picha na www.superdboxingcoach. |
| Bondia
Hamis Ajari kushoto akipambana na Cosmas Cheka wakati wa mpambano wao
uriofanyika wakati wa sikukuu ya krismas cheka alishinda kwa point picha
na www.superdboxingcoach. |
| Bondia
Sadiq Abdulazizi kushoto akipambana na Juma Fundi wakati wa mpambano
wao uliofanyika wakati wa sikukuu ya krismas juma fundi alishinda kwa
point mpambano uho picha na www.superdboxingcoach. |
| Baadhi ya mashabiki waliouhulia mpambano huo uliokuwa mkali na kutoa burudani ya aina yake kwa mashabiki nchini |
MISS TANZANIA 2013 ASHEREHEKEA SIKUKUU YA X - MASS PAMOJA NA WATOTO YATIMA MOROGORO
Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa Akikabidhi zawadi waliotoa katika kituo hicho kwa Mama Mkuu wa Wa shirika la Masista wa Moyo safi wa Maria Sista Flora Chuma..
Miss
Tanzania 2013 Happiness Watimanywa (pichani), Leo amejumuika na watoto
yatima wa kituo cha Mgolole kilichopo Bigwa nje kidogo ya Mji wa
Morogoro. Mrembo
huo ameungana na warembo wengine wawili , akiwemo Miss Kanda ya
Mashariki Missa Clara Pamoja Sabra Islam Miss Morogoro 2013 . Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa.Aliongozana na Wazazi wake pamoja na Ndugu jamaa na marafiki zake 
Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega Akiwa na Katibu
wa Miss Tanzania Bosco Majaliwa leo awlipoongozana na Miss Tanzania
2013 Happiness Watimanywa Alipotembelea Kituo cha Kulea watoto Yatima
cha Mgolole Kinachomilikiwa na Masista wa Moyo safi Wa Maria Cha Mkoani
morogoro
Watoto
wa kituo cha kulea watoto yatima cha masista wa Moyo Mtakatifu wa Maria
cha Mgolele mkoani Morogoro wakiwa katika Picha ya Pamoja leo walipopata
Ugeni Kutoka kwa Miss tanzania Happiness Watimanywa Aliyeambatana na
wakurugenzi wa Miss tanzania Pamoja na Wazazi wake ndugu na jamaa wake
wa Karibu.
Ndugu na
Marafiki wa Miss tanzania 2013 waliomsindikaza Happiness Watimanywa
Alipotembelea kituo cha watoto yatima cha mjini Morogoro..
JAMES KISAKA AFARIKI DUNIA, MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMINA.
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha
aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57) kilichotokea leo
asubuhi (Desemba 25 mwaka huu) katika Hospitali ya Burhani, Dar es
Salaam.
Msiba
huo ni mkubwa katika familia ya mpira wa miguu kwani Kisaka kabla ya
kuwa kocha alikuwa mchezaji katika nafasi ya kipa. Mbali ya Simba, timu
nyingine alizowahi kudakia ni Ndovu ya Arusha, Volcano ya Kenya na Small
Simba ya Zanzibar.
Akiwa
mwanafunzi Shule ya Sekondari Tambaza jijini Dar es Salaam aliwahi
kuchezea timu za Oysterbay Stars, Eleven Stars ya Msasani, Sigara wakati
ikicheza Ligi ya Temeke na Nyota Nyekundu kabla ya kutua Simba.
Pia
alikuwemo kwenye timu ya Taifa ya vijana iliyokwenda Zimbabwe kwenye
sherehe za uhuru wan chi hiyo mwaka 1980. Vilevile alikuwa mmoja wa
wachezaji waliounda kombaini ya Tanzania ya UMISSETA akiwa na akina Said
George, Nico Njohole, George Kulagwa na wengine. Hivyo mchango wake
katika mchezo huu tutaukumbuka daima.
Kwa
mujibu wa kaka wa marehemu, Benny Kisaka, James alikuwa akisumbuliwa na
ugonjwa wa miguu kufa ganzi na matatizo ya kutoona vizuri.
Msiba uko nyumbani kwake Mbezi Mwisho (Kwa Yusuf), na anatarajia kuzikwa nyumbani kwao Kijiji cha Lusanga, Muheza mkoani Tanga.
TFF
tunatoa pole kwa familia ya marehemu Kisaka, klabu ya Simba na Chama
cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) na kuwataka kuwa na
subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha msiba huo mzito.
Marehemu Kisaka ameacha mjane na watoto wanne. Bwana alitoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe.
Boniface Wambura Mgoyo
Kaimu Katibu Mkuu
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Tuesday, December 24, 2013
MOHAMED MATUMLA NASIBU RAMADHANI KUMARIZA UBISHA CHRXMAS
Bondia
Mohamed Matumla kushoto na Nassibu Ramadhani wakitunishiana misuli
baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao leo katika
ukumbi wa friends corner hotel manzese Dar es salaam leo katikati ni promota wa mpambano huo kaike siraju Picha na www.superdboxingcoach.
|
| Promota
kaike Siraju akiwainua juu mikono Bondia Mohamed Matumla kushoto na
Nassibu Ramadhani kwa ajili ya mpambano wao wa kugombea pikipiki siku ya
sikukuu ya Xmasi Picha na www.superdboxingcoach. |

MCHEZAJI WA BORA WA LIGI YA BRAZIL - EVERTON RIBEIRO ASEMA ATAICHAGUA MAN UNITED MBELE YA REAL MADRID
Kiungo wa kibrazil Everton Ribeiro kwa mara nyingine ameelezea matamanio ya kujiunga na klabu ya Manchester United.
United iliwatuma maskauti wake wa vipaji kwenda nchini Brazil kumuangalia staa huyo wa timu ya Cruzeiro na kocha David Moyes anafikiria kutuma ofa rasmi ya £12million ili kukamilisha usajili wa kiungo huyo, ambaye mwezi uliopita alishinda tuzo ya kuwa mwanasoka bora wa ligi ya Brazil.
Hata hiyo, United watakabiliana na upinzani kutka kwa Liverpool na Real Madrid ambao nao wamevutiwa na mchezaji huyo.
Ribeiro ambaye huko nyuma aliwahi kucheza katika mashindano ya vijana na United alipoulizwa na Globoesporte kama angependelea kujiunga na United badala ya Madrid, kiungo huyo mwenye miaka 24 alisema: ‘Ndio, ningependea kucheza United, mfumo ambao United wanaendesha timu ni bora kabisa duniani. Nimewahi kuwepo mahala pale na pia nilienda kupata mafunzo kutoka Alex Ferguson nilipokuwa kinda. ’
Wakala wa mchezaji huyo Robson Ferreira hivi karibuni alinukuliwa akisema: Manchester United wanamtaka Ribeiro, David Moyes amevutiwa sana. Nilishaenda England na nikaongea rasmi na United.’
United iliwatuma maskauti wake wa vipaji kwenda nchini Brazil kumuangalia staa huyo wa timu ya Cruzeiro na kocha David Moyes anafikiria kutuma ofa rasmi ya £12million ili kukamilisha usajili wa kiungo huyo, ambaye mwezi uliopita alishinda tuzo ya kuwa mwanasoka bora wa ligi ya Brazil.
Hata hiyo, United watakabiliana na upinzani kutka kwa Liverpool na Real Madrid ambao nao wamevutiwa na mchezaji huyo.
Ribeiro ambaye huko nyuma aliwahi kucheza katika mashindano ya vijana na United alipoulizwa na Globoesporte kama angependelea kujiunga na United badala ya Madrid, kiungo huyo mwenye miaka 24 alisema: ‘Ndio, ningependea kucheza United, mfumo ambao United wanaendesha timu ni bora kabisa duniani. Nimewahi kuwepo mahala pale na pia nilienda kupata mafunzo kutoka Alex Ferguson nilipokuwa kinda. ’
Wakala wa mchezaji huyo Robson Ferreira hivi karibuni alinukuliwa akisema: Manchester United wanamtaka Ribeiro, David Moyes amevutiwa sana. Nilishaenda England na nikaongea rasmi na United.’
FALCAO: RONALDO NI MCHEZAJI BORA ZAIDI YA LIONEL MESSI
Mshambuliaji wa Monaco Radamel Falcao anaamini kwamba mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ni mchezaji mzuri kuliko staa wa klabu ya Barcelona Lionel Messi.
Mchezaji huyo wa Colombia anawakubali wachezaji wote wawili, ingawa Falcao anaamini Cristiano ni bora zaidi ya Messi.
"Messi na Cristiano ni wachezaji muhimu na wakubwa duniani leo hii lakini, kwangu mimi naamini Ronaldo ni bora zaidi," alisema mchezaji huyo mwenye miaka 27 alipoongea na El Tiempo.
Falcao pia amesema ni Cristiano Ronaldo anayestahili kuwa mchezaji bora wa dunia katika tuzo za Ballon D'or zitakazotolewa mwezi ujao ambapo Ronaldo anapambana na Ribery pamoja na Messi.
Mchezaji huyo wa Colombia anawakubali wachezaji wote wawili, ingawa Falcao anaamini Cristiano ni bora zaidi ya Messi.
"Messi na Cristiano ni wachezaji muhimu na wakubwa duniani leo hii lakini, kwangu mimi naamini Ronaldo ni bora zaidi," alisema mchezaji huyo mwenye miaka 27 alipoongea na El Tiempo.
Falcao pia amesema ni Cristiano Ronaldo anayestahili kuwa mchezaji bora wa dunia katika tuzo za Ballon D'or zitakazotolewa mwezi ujao ambapo Ronaldo anapambana na Ribery pamoja na Messi.
EDIBILY LUNYAMILA APATA NAFUU,
Hali ya winga wa zamani Edibily
Lunyamila inaendelea vizuri,leo hii asubuhi mwandishi amepita kwenye
hospitali ya Mwananyamala na kukuta Jopo la madaktari saba akiwemo
Daktari bingwa wa tiba za michezo,Dr Mwankemwa wakimshughulikia vizuri
mgonjwa huyo.
Pia leo asubuhi wachezaji kadhaa wa zamani kama vile Silvatus Ibrahim,Mohamed Hussein na Vincet Peter walipita kumjulia hali mwenzao,Hapo jana uongozi wa Klabu ya YANGA ulifika hospitalini pale ukiongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya mashindano Abdallah Bin Kleb,Nahodha wa zamani Ally Mayai na walipanga asubuhi ya leo wamwamishie kwenye hospitali ya Muhimbili,aliyepewa jukumu hilo alikuwa ni mjumbe wa kamati ya utendaji ndugu Mohammed Binda.
'' Jana viongozi wa Yanga tulikubaliana leo tumwamishie hospitali ya Muhimbili lakini tulipofika leo asubuhi madaktari wa hospitali ya Mwananyamala walitusihi tumwache kwanza kwani walikuwa tayari wanamshughulikia,kutokana na huduma nzuri aliyokuwa anapewa na madaktari wa hapa tumeonelea tumwache kwanza'' alinukuliwa Binda akielezea hali ya mgonjwa.
Pia leo asubuhi wachezaji kadhaa wa zamani kama vile Silvatus Ibrahim,Mohamed Hussein na Vincet Peter walipita kumjulia hali mwenzao,Hapo jana uongozi wa Klabu ya YANGA ulifika hospitalini pale ukiongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya mashindano Abdallah Bin Kleb,Nahodha wa zamani Ally Mayai na walipanga asubuhi ya leo wamwamishie kwenye hospitali ya Muhimbili,aliyepewa jukumu hilo alikuwa ni mjumbe wa kamati ya utendaji ndugu Mohammed Binda.
'' Jana viongozi wa Yanga tulikubaliana leo tumwamishie hospitali ya Muhimbili lakini tulipofika leo asubuhi madaktari wa hospitali ya Mwananyamala walitusihi tumwache kwanza kwani walikuwa tayari wanamshughulikia,kutokana na huduma nzuri aliyokuwa anapewa na madaktari wa hapa tumeonelea tumwache kwanza'' alinukuliwa Binda akielezea hali ya mgonjwa.
KATIBU MKUU WA SIMBA AACHIA NGAZI AULA TFF - MWESIGA WA YANGA NAE KUMRITHI ANGETILE
KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imekutana wikiendi iliyopita na kufikia uamuzi wa kuwapa ajira aliyekuwa katibu wa Yanga, Selestine Mwesigwa na wa Simba, Evodius Mtawala.
Mwesigwa atafanya kazi hiyo chini ya uangalizi kwa kipindi cha miezi sita na endapo TFF atamudu nafasi hiyo atapewa muda zaidi, lakini kama atashindwa basi ajira yake itasitishwa mara moja.
Wakati Mwesigwa akiinasa ajira hiyo aliyoshindania vikali na Michael Wambura, mwenzake wa Simba, Mtawala ameula kwenye Mkurugenzi wa Sheria na Masuala ya Utawala ambayo ni nafasi mpya katika shirikisho hilo.
Kufuatia uteuzi huo ni wazi Mtawala atalazimika kuachia ngazi katika nafasi yake ya ukatibu kwenye klabu ya Simba, huku taarifa zilizoifikia Mwanaspoti usiku wa jana Jumatatu, Mtawala ameihakikishia TFF kwamba tayari ameshawasilisha barua yake ya kuacha kazi kwenye klabu ya Simba.
Mwesigwa na Mtawala watatangwa rasmi leo Jumanne na Rais wa TFF, Jamal Malinzi.
Monday, December 23, 2013
HII NDIO TAARIFA RASMI YA KUFUKUZWA KOCHA WA YANGA ERNST BRANDTS
Uongozi
wa klabu ya Young Africans SC umempatia taarifa (Notice) ya siku ya
thelathini (30) kocha mkuu mholanzi Ernie Brandts juu ya kusitisha
mkataba wake kuanzia jana Disemba 22 mwaka huu.
Maamuzi
hayo yanafuatia muenendo wa matokeo mabaya katika michezo iliyopita ya
Ligi Kuu, kirafiki na bonanza la Nani Mtani Jembe dhidi ya Simba SC
mwishoni mwa wiki.
Hatua
ya Young Africans SC kusitisha huduma na Brandts isichukuliwe kama
chuki bali ni moja ya sehemu ya kuhakikisha tunaboresha benchi la ufundi
ili tuweze kupata matokeo mazuri katika Mashindano yanayotukabili.
Ukitazama
uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wa Yanga SC na wapinzani wetu, na soka
tulilocheza kwenye mchezo wa mwishoni mwa wiki kwa kweli ni dhahiri
mwalimu amefikia mwisho kimbinu na hana njia mbadala.
Young
Africans SC imekua ikicheza chini ya kiwango katika michezo ya Ligi Kuu
hali iliyoplekea kupata ushindi kwa tabu na wakati mwingine timu
kupoteza pointi.
Kufuatia
kupewa taarifa ya siku 30, Brandts ataamua mwenyewe kama ataendelea
kusimamia mazoezi ya timu au kuondoka moja kwa moja kabla ya muda huo
ukiwa haujakamilika.
Ikiwa
Brandts ataondoka mapema timu itaendelea na mazoezi kama kawaida katika
kila siku asubuhi katika uwanja wa bora kijitonyama kujiandaa na
mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya kimataifa chini ya kocha
msaidizi Fred Felix “Minziro”.
Ili
kuhakikisha timu inafanya vizuri katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya
Vodacom na mashindano ya kimataifa uongozi unakamilisha maandalizi ya
safari ya kambi nje ya nchi na taratibu zote zitakapokamilika
tutawajulisha.
Aidha
uongozi upo katika mchakato wa kumapata mrithi wa Brandts ambaye
ataungana na timu kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili na
Mashindano ya klabu Bingwa Afrika.
Mwisho
tunawaomba wanachama, wapenzi na washabiki wa Yanga wasivunjike moyo
kufuatia matokeo ya bonanza mwishoni mwa wiki, uongozi unajipanga
kuhakikisha timu inaimarika kwenye benchi la ufundi na kurudisha furaha
katika mzunguko wa pili wa VPL.
Abdallah Bin Kleb
Mwenyekiti - Kamati ya Mashindano
Young Africans Sports Club.
DAR ES SALAAM
23 Disemba, 2013
BREAKING NEWS…..! HALI NI MBAYA…! LUNYAMILA ANAPUMULIA MASHINE HOSPITALI YA MWANANYAMALA.
WINGA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila leo hii asubuhi amekimbizwa katika hospitali ya Mwananyamala baada ya kusumbuliwa na kifua na sasa anapumua kwa msaada wa mashine.
Mtandao huu ulifanikiwa kufika hospitalini hapo muda mfupi baada ya winga huyo kukimbizwa hospitalini hapo baada ya kuzidiwa tangu jana usiku akiwa nyumbani kwake Mbezi jijini Dar es Salaam.
Shaffihdauda.com imemshuhudia Lunyamila akiwa amelala kitandani katika wodi ya wanaume namba namba 5 kitanda namba 16 katika hospitali hiyo ya rufaa ya Kinondoni.

Daktari Madirisha Pascal anayemuhudumia winga huyo wa zamani, Lunyamila anasumbuliwa na tatizo la kifua ambalo linamfanya ashindwe kupumua vizuri.
“Kama mnavyomuona anapumua kwa msaada wa mashine na bado tunaendelea kumfanyia uchunguzi ili kubaini nini kinachomsumbua zaidi,” alisema Pascal.
Mmoja wa ndugu wa Lunyamila, Lameck John alisema kwamba, mchezaji huyo wa zamani alianza kujisikia vibaya jana Jumapili na leo asubuhi hali yake ilibadilika ndipo walipomkimbiza hospitali.

Lunyamila alivyokuwa enzi anaichezea Yanga..
“Alianza kulalamika hawezi kupumua na kifua kinamsumbua pia mbavu zilikuwa zikimuuma, baada ya majibu ya vipimo tutajua kinachomsumbua zaidi,” alisema Lameck.
Kutokana na hali iliyoonekana hospitalini hapo, Lunyamila anahitaji huduma ya haraka ili kuweza kuokoa uhai wake kwani anapumulia mashine akiwa katika sehemu yenye joto kali hivyo anapambana na vitu vingi kwa wakati mmoja...
Taarifa za kiuchunguzi zilizofanywa na mwandishi wetu zimebaini Lunyamila anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
''Nilikuja jana hospitali ya mwananyaala ikagundulika moyo wangu umekuwa mkubwa,hivi sasa naenda muhimbili kwa ajili ya vipimo zaidi nikifika na kukutana na daktari nitakujulisha ''
ilipofika mchana wa leo mwandishi alipokea simu kutoka kwa Lunyamila akimwambia ameambiwa arejee tena hospitali ya Mwananyamala.
KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K,O RAUNDI YA 4
| Bondia Japhert Kaseba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es salaam Kaseba alishinda kwa KO ya raundi ya nne ya mpambano huo Picha na superdboxingcoach.blogspot.com |
| Kanda kabongo akimuhuumia Japhert Kaseba |
| Bondia Omari Nampekecha 'peche boy' kushoto akipambana na hasani Kiware wakati wa mpambano huo nampekecha alishinda kwa pointi picha na superdboxingcoach.blogspot.com |
| Kaseba akiwa na familia yake pamoja na mashabiki baada ya kushinda mchezo wake |
Bondia Pendo Njau kushoto akiwa na bondia Llulu Kayage wakati wa mpambano huo
| mashabiki wakiangalia mpambano |
| Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point picha na superdboxingcoach.blogspot.com |
| Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point picha na superdboxingcoach.blogspot.com |

YANGA YAMTIMUA KOCHA WAKE ERNEST BRANDTS
MUDA mfupi uliopita klabu ya soka ya Yanga imetangaza
kusitisha mkataba na kocha wake Ernest Brandts baada ya kutoridhishwa na
mwenendo wa timu hiyo.
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga, Baraka Kizuguto, mkataba wa Brandts ambaye ni raia wa Uholanzi umesitishwa rasmi leo hii asubuhi na ameshakabidhiwa barua ya kumtaarifu juu ya hali hiyo.
“Tumesitisha mkataba na kocha wetu na ameshakabidhiwa barua yake, huo ni uamuzi wa uongozi mzima wa Yanga, kila kitu kimeenda sawa katika kuachana naye,” alisema Kizuguto.
Tetesi za Brandts kutimuliwa zilizagaa jijini Dar es Salaam tangu jana muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji kwamba hata kama klabu itaamua kuachana na kocha huyo itafuata taratibu zote.
Uamuzi huo wa Yanga unaonekana pia kuchagizwa zaidi na kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya Simba katika mchezo maalum wa kirafiki maarufu kama Nani Mtani Jembe uliochezwa wikiendi iliyopita Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga, Baraka Kizuguto, mkataba wa Brandts ambaye ni raia wa Uholanzi umesitishwa rasmi leo hii asubuhi na ameshakabidhiwa barua ya kumtaarifu juu ya hali hiyo.
“Tumesitisha mkataba na kocha wetu na ameshakabidhiwa barua yake, huo ni uamuzi wa uongozi mzima wa Yanga, kila kitu kimeenda sawa katika kuachana naye,” alisema Kizuguto.
Tetesi za Brandts kutimuliwa zilizagaa jijini Dar es Salaam tangu jana muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji kwamba hata kama klabu itaamua kuachana na kocha huyo itafuata taratibu zote.
Uamuzi huo wa Yanga unaonekana pia kuchagizwa zaidi na kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya Simba katika mchezo maalum wa kirafiki maarufu kama Nani Mtani Jembe uliochezwa wikiendi iliyopita Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Sunday, December 22, 2013
DAUDA TV: CLOUDS MEDIA ILIPOWATANDIKA MASHABIKI WA YANGA MABA0 3-2.
Hapo siku ya Ijumaa mwishoni mwa juma
hili CLOUDS MEDIA GROUP 'The Dream Team'' ilipambana na mashabiki wa
YANGA waliopo kwenye mitandao ya kijamii, baada ya dakika 90 za mchezo
huo uliopigwa kwenye dimba la Tanganyika Packers, CLOUDS waliibuka na
ushindi wa mabao 3-2 yaliyofungwa na James Tupatupa,Shaffih Dauda na
Said Tully.
BAO LA YANGA...
BAO LA KWANZA LA CLOUDS LILILOFUNGWA NA TUPATUPA.
BAO LA PILI LA CLOUDS LILILOFUNGWA NA DAUDA. BAO LA TATU LA TULLY
BAO LA YANGA...
BAO LA KWANZA LA CLOUDS LILILOFUNGWA NA TUPATUPA.
BAO LA PILI LA CLOUDS LILILOFUNGWA NA DAUDA. BAO LA TATU LA TULLY
SIMBA NDIYO MTANI JEMBE
Na Baraka Mbolembole
Yanga, mechi yake ya jumamosi katika uwanja wa Taifa, ilimalizika kwa
mlinzi wake wa kati, Kelvin Yondan kuoneshwa kadi nyekundu baada ya
kufanya kosa la kumvuta jezi, kiungo-mshambuliaji, Ramadhani Singano
na kupelekea kupata kadi ya pili ya manjano dakika kumi kabla ya
kumalizika kwa mchezo.
Kocha wao, Ernie Brandts aliamua kufanya mabadiliko ya wachezaji
watatu kwa mpigo, baada ya kuwaingiza uwanjani, Saimon Msuva, Emmanuel Okwi, na Said Dilunga katika dakika ya 46. Zote hizo zilikuwa dalili za presha, na hakika kuwa nyuma kwa mabao 2-0 ndani ya dakika 45
haikuwa ishara nzuri. Yanga waliingia uwanjani wakiwa na hali ya kujiamini, ila mabao y Tamwe yaliondoa hali hiyo na kuzalisha mvurugano kwao.
Tambwe ambaye alianza pamoja na Awadh Juma katika safu ya
HUYU DOGO, SINGANO, POLENI, LUHENDE NA YONDAN
David Luhende alipangwa sehemu ya ulinzi wa kushoto kwa upande wa
Yanga, na Singano akapangwa upande wa kulia kama kiungo mshambuliaji
wa Simba. Mchezo ulikuwa hapa, Luhende mzito, Singano mwepesi, Luhende hanyumbuliki, Singano ananyumbulika, Luhende hana kasi, Singano ana kasi, Luhende hakuwa mjanja, Singano akawa mjanja kama Sungura. Akamshindwa ' dogo', mara akaongezeka, Kelvin. Pamoja na umwamba wake, alimkoma dogo huyu, Kelvin anakwenda spidi, Singano akawa anafanya mbinu zake, mara chenga, anaanza kuunga tera, utamkuta Singano?. Akaona mvute jezi tu, kuliko fedheha kama ya kipindi kile kutoka kwa Ngassa. Poleni, Luhende n Yondan, mlikutana na ' fotokopi' ya Leonel Messi. Nani alikuwa mchezaji bora wa mechi kati ya Singano aliyetumia dakika zisizozidi 70, na Mkude aliyecheza dakika zote 90?. Mchezaji bora ni Logarusic.
0714 08 43 08
Yanga, mechi yake ya jumamosi katika uwanja wa Taifa, ilimalizika kwa
mlinzi wake wa kati, Kelvin Yondan kuoneshwa kadi nyekundu baada ya
kufanya kosa la kumvuta jezi, kiungo-mshambuliaji, Ramadhani Singano
na kupelekea kupata kadi ya pili ya manjano dakika kumi kabla ya
kumalizika kwa mchezo.
Kocha wao, Ernie Brandts aliamua kufanya mabadiliko ya wachezaji
watatu kwa mpigo, baada ya kuwaingiza uwanjani, Saimon Msuva, Emmanuel Okwi, na Said Dilunga katika dakika ya 46. Zote hizo zilikuwa dalili za presha, na hakika kuwa nyuma kwa mabao 2-0 ndani ya dakika 45
haikuwa ishara nzuri. Yanga waliingia uwanjani wakiwa na hali ya kujiamini, ila mabao y Tamwe yaliondoa hali hiyo na kuzalisha mvurugano kwao.
AMIS TAMBWE
Alifunga bao lake la kwanza baada ya kumalizia kazi nzuri iliyokuwa
imefanywa na Jonas Mkude. Henrry Joseph, Said Ndemla na Harouna
Chanongo, ambao walipigiana pasi za uhakika na kutengeneza nafasi kwa
mshambuliaji huyo aliyekuwa ndani ya boksi. Akamuadaa, Nadir Haroub na
kumalizia vizuri mpira aliopasiwa, na baada ya goli hilo, Simba
wakaonekana kucheza kwa kujiamini na mipango mizuri kuliko Yanga.
Alifunga bao lake la kwanza baada ya kumalizia kazi nzuri iliyokuwa
imefanywa na Jonas Mkude. Henrry Joseph, Said Ndemla na Harouna
Chanongo, ambao walipigiana pasi za uhakika na kutengeneza nafasi kwa
mshambuliaji huyo aliyekuwa ndani ya boksi. Akamuadaa, Nadir Haroub na
kumalizia vizuri mpira aliopasiwa, na baada ya goli hilo, Simba
wakaonekana kucheza kwa kujiamini na mipango mizuri kuliko Yanga.
mashambulizi, alifunga tena bao la pili kwa mkwaju wa penati, baada ya
Singano kuangushwa katika eneo la hatari na mlinzi wa kushoto wa
Yanga, David Luhende katika dakika ya 42. Baada ya mabao hayo Simba
ilikuwa bora zaidi ya Yanga kwa muda wote wa mchezo. Mabao ya Tambwe yaliivuruga Yanga, ambao walionekana kurushiana maneno ya lawama kwa wachezaji wao wa safu ya ulinzi. Simba walijiamini zaidi na Jonas Mkude akawa anaichezesha timu na kuwalinda walinzi wake.
Singano kuangushwa katika eneo la hatari na mlinzi wa kushoto wa
Yanga, David Luhende katika dakika ya 42. Baada ya mabao hayo Simba
ilikuwa bora zaidi ya Yanga kwa muda wote wa mchezo. Mabao ya Tambwe yaliivuruga Yanga, ambao walionekana kurushiana maneno ya lawama kwa wachezaji wao wa safu ya ulinzi. Simba walijiamini zaidi na Jonas Mkude akawa anaichezesha timu na kuwalinda walinzi wake.
LOGARUSIC NA UJANJA WA 'SUB'
Kocha wa timu ya Simba, Logarusic
alikuwa na mbinu, pamoja na 'timming' kali kuliko, Ernie Brandts wa timu
ya Yanga. Aliamua kumtoa
Said Ndemla na kumuingiza uwanjani, Ramadhani Singano katika dakika ya 26 tu ya mchezo, baada ya kiungo huyo chipukizi kuzidiwa na mchezo.
Dakika sita, baadae akafanya mabadiliko mengine kwa kumpumzisha
kiungo, Henry Joseph ambaye alionekana kupoteza mipira mingi ya hatari
katika eneo lao la ulinzi, na kuonekana akicheza faulo za mara kwa
mara, na Ramadhani Chombo akaingia. Simba, ikabadilika na kucheza
mchezo wa pasi za uhakika huku suala la kumiliki mpira likiwa juu
kuliko kwa upande wa wachezaji wa Yanga.
Said Ndemla na kumuingiza uwanjani, Ramadhani Singano katika dakika ya 26 tu ya mchezo, baada ya kiungo huyo chipukizi kuzidiwa na mchezo.
Dakika sita, baadae akafanya mabadiliko mengine kwa kumpumzisha
kiungo, Henry Joseph ambaye alionekana kupoteza mipira mingi ya hatari
katika eneo lao la ulinzi, na kuonekana akicheza faulo za mara kwa
mara, na Ramadhani Chombo akaingia. Simba, ikabadilika na kucheza
mchezo wa pasi za uhakika huku suala la kumiliki mpira likiwa juu
kuliko kwa upande wa wachezaji wa Yanga.
YANGA....
Waliingia na timu ileile iliyocheza mara ya mwisho na Simba
katika mchezo wa ligi kuu, oktoba 20, ukimtoa golikipa Juma Kaseja,
ambaye aliingia mahala kwa Ally Mustapha. Walionekana kujiamini zaidi.
Kabla ya mchezo huo walikuwa wamecheza michezo mitatu mfululizo na
mahasimu wao pasipo kufungwa. Athumani Idd ' Chuji', alikuwa na tatizo
kama alilokuwa nalo, Joseph kwa upande wa Simba, alipiga pasi za
hovyo. Hakuonekana sana, na wala hakuwa na haja ya kufanya hivyo.
Alicheza chini ya kiwango chake cha kawaida, na akashindwa kujibadili
mwenyewe na kubadili stahili yake ya upigaji pasi ndefu za juu.
Alijitahidi kuisogeza timu kutoka nyuma na tofauti na Joseph, Chuji aliwasa
katika mchezo wa ligi kuu, oktoba 20, ukimtoa golikipa Juma Kaseja,
ambaye aliingia mahala kwa Ally Mustapha. Walionekana kujiamini zaidi.
Kabla ya mchezo huo walikuwa wamecheza michezo mitatu mfululizo na
mahasimu wao pasipo kufungwa. Athumani Idd ' Chuji', alikuwa na tatizo
kama alilokuwa nalo, Joseph kwa upande wa Simba, alipiga pasi za
hovyo. Hakuonekana sana, na wala hakuwa na haja ya kufanya hivyo.
Alicheza chini ya kiwango chake cha kawaida, na akashindwa kujibadili
mwenyewe na kubadili stahili yake ya upigaji pasi ndefu za juu.
Alijitahidi kuisogeza timu kutoka nyuma na tofauti na Joseph, Chuji aliwasa
|
| |||
sana katika ukabaji. Alikuwa na siku mbaya, kwa kuwa hakupata msaada
wa kutosha kutoka kwa Mrisho Ngassa, ambaye aliamua kujificha pembeni
ya uwanja muda wote..
Simba, iliwaanzisha, Ndemla, Joseph, Jonas Mkude na Haroun Chanongo
katika nafasi ya kiungo, huku Awadh Juma akicheza nyuma kidogo ya
Tambwe. Viungo watatu kati yao wote ni wazuri katika ukabaji, Ndemla,
Joseph na Mkude. Wakati, Chuji akijibidiisha kadri awezavyo, Frank
Domayo, akawa mkimya sana uwanjani, alifanya kazi ya ' kupatrol' mbele
ya Chuji, na kusaidia safu ya ulinzi. Aliogopa kusonga mbele hata
wakati alipotakiwa kufanya hivyo, hakuwa katika kiwango kizuri sana
hasa baada ya eneo la katikati ya uwanja ' kutekwa' na viungo wa Simba.
wa kutosha kutoka kwa Mrisho Ngassa, ambaye aliamua kujificha pembeni
ya uwanja muda wote..
Simba, iliwaanzisha, Ndemla, Joseph, Jonas Mkude na Haroun Chanongo
katika nafasi ya kiungo, huku Awadh Juma akicheza nyuma kidogo ya
Tambwe. Viungo watatu kati yao wote ni wazuri katika ukabaji, Ndemla,
Joseph na Mkude. Wakati, Chuji akijibidiisha kadri awezavyo, Frank
Domayo, akawa mkimya sana uwanjani, alifanya kazi ya ' kupatrol' mbele
ya Chuji, na kusaidia safu ya ulinzi. Aliogopa kusonga mbele hata
wakati alipotakiwa kufanya hivyo, hakuwa katika kiwango kizuri sana
hasa baada ya eneo la katikati ya uwanja ' kutekwa' na viungo wa Simba.
ULIMUONA KIUNGO HUYU...
Bila shaka, ulimuona. Mkude alionekana kupiga pasi za uhakika '
mwanzo-mwisho', alijimiliki mwenyewe na baadae akaumiliki mchezo na
kuwa kiongozi wa timu yake uwanjani. Alianzisha pasi nzuri katika '
move' ya bao la kwanza, na angeweza kufunga bao kali la kiki ya umbali
mrefu, pale alipouwahi mpira wa rebound. Wakati, Ndemla na Joseph
walipopoteza ' njaa ya mchezo', yeye alijitahidi kuwaweka sawa, kwa
kuwavuruga viungo wa Yanga kwa mchezo wake wa nguvu na akili,
alipokuja kuingia, Singano na baadae, Chombo akaamua kusonga mbele
zaidi na kupiga pasi za kukimbiza, safu ya ulinzi ya Yanga ikawa
inapitika, na baadae, David Luhende akajikuta akiishiwa mbinu na kusababisha penati, endelea kusoma utagundua kwa nini.
Bila shaka, ulimuona. Mkude alionekana kupiga pasi za uhakika '
mwanzo-mwisho', alijimiliki mwenyewe na baadae akaumiliki mchezo na
kuwa kiongozi wa timu yake uwanjani. Alianzisha pasi nzuri katika '
move' ya bao la kwanza, na angeweza kufunga bao kali la kiki ya umbali
mrefu, pale alipouwahi mpira wa rebound. Wakati, Ndemla na Joseph
walipopoteza ' njaa ya mchezo', yeye alijitahidi kuwaweka sawa, kwa
kuwavuruga viungo wa Yanga kwa mchezo wake wa nguvu na akili,
alipokuja kuingia, Singano na baadae, Chombo akaamua kusonga mbele
zaidi na kupiga pasi za kukimbiza, safu ya ulinzi ya Yanga ikawa
inapitika, na baadae, David Luhende akajikuta akiishiwa mbinu na kusababisha penati, endelea kusoma utagundua kwa nini.
HAKUNA SIRI ITAKAYOACHWA IPOTEE
Bao la tatu la Simba, lilikuwa ni goli la kufedhehesha sana,
liliwaumiza wengi kutokana na namna lilivyoandaliwa na kufungwa na
kiungo, Awadh Juma. Ni makosa ya wazi ya golika Kaseja, ambae
alishindwa kufanya maamuzi ya kuuondoa mpira uliokuwa ndani ya uwezo.
Wakati, fulani, Juma aliwahi kushiriki katika maandalizi ya bao kama
lile wakati akiwa kipa wa Simba, msimu uliopita katika mchezo
waliopeteza mbele ya Mtibwa Sugar. Kuna wakati, Juma huwa anaruhusu
magoli ya kipuuzi na alifanya tena hivyo, siku ya jumamosi na
kuigharimu timu yake. Huwa anajiamini kupita kiasi, jambo ambalo
wakati mwingine linapelekea wapenzi wa soka kumuona ni mtu mbaya
Bao la tatu la Simba, lilikuwa ni goli la kufedhehesha sana,
liliwaumiza wengi kutokana na namna lilivyoandaliwa na kufungwa na
kiungo, Awadh Juma. Ni makosa ya wazi ya golika Kaseja, ambae
alishindwa kufanya maamuzi ya kuuondoa mpira uliokuwa ndani ya uwezo.
Wakati, fulani, Juma aliwahi kushiriki katika maandalizi ya bao kama
lile wakati akiwa kipa wa Simba, msimu uliopita katika mchezo
waliopeteza mbele ya Mtibwa Sugar. Kuna wakati, Juma huwa anaruhusu
magoli ya kipuuzi na alifanya tena hivyo, siku ya jumamosi na
kuigharimu timu yake. Huwa anajiamini kupita kiasi, jambo ambalo
wakati mwingine linapelekea wapenzi wa soka kumuona ni mtu mbaya
Wazee
wa klabu ya Yanga wanasema ' walijua kuwa Juma amekuja kuwafungisha',
je anaweza kuzungumza kitu baada ya tukio la kuwazawadia Simba bao la
tatu?. Brandts aliamua kumpa adhabu kali, ya kutomfanyia mabadiliko hadi
mwisho. Yanga, wakome sasa kusajili hovyo wachezaji wa Simba.
Kelvin Yondan alionekana kuwa mpambanaji sana, japo baadae akajikuta
akiadhibiwa na kuondoshwa mchezoni. Alikuwa imara yeye binafsi, jambo
ambalo liliongeza unafuu katika ngome yao. Alionekana kutuliza kichwa
chake, ila baada ya kufungwa bao la kwanza akaonekana kuwa ' mapepe'
kama patna wake, Nadir Haroub. Alionekana kuchukizwa na kitendo cha
Tambwe kufunga bao rahisi mbele ya nahodha, Nadir, na kuanza kucheza
kwa ' kisirani'. Walicheza pamoja kwa mara nyingine na ndani ya miezi
miwili wamejikuta wakiruhusu kufungwa magoli matano na mahasimu wao.
Mahusiano yao yamekuwa mabaya tangu, oktoba, na kitendo cha kuamua
kumfokea mwenzake huyo, ni ishara kuwa hawaaminiani tena. Nadir na mahusiano yao ya kiuchezaji yameshindwa kuwa mazuri.
akiadhibiwa na kuondoshwa mchezoni. Alikuwa imara yeye binafsi, jambo
ambalo liliongeza unafuu katika ngome yao. Alionekana kutuliza kichwa
chake, ila baada ya kufungwa bao la kwanza akaonekana kuwa ' mapepe'
kama patna wake, Nadir Haroub. Alionekana kuchukizwa na kitendo cha
Tambwe kufunga bao rahisi mbele ya nahodha, Nadir, na kuanza kucheza
kwa ' kisirani'. Walicheza pamoja kwa mara nyingine na ndani ya miezi
miwili wamejikuta wakiruhusu kufungwa magoli matano na mahasimu wao.
Mahusiano yao yamekuwa mabaya tangu, oktoba, na kitendo cha kuamua
kumfokea mwenzake huyo, ni ishara kuwa hawaaminiani tena. Nadir na mahusiano yao ya kiuchezaji yameshindwa kuwa mazuri.
JOSEPH OWINO, DONALD MUSOTI
Siku nyingine tena ya kujaribu kila kitu, na mwishowe kukosa matokeo
bora. Didier Kavumbagu na Hamis Kiza walitumia muda mwingi wa dakika
45 walizokuwepo uwanjani katika ' mifuko' ya Owino na Musoti, na Okwi
aliyeingia dakika ya 46 alitumia robo saa ya kwanza kuzunguka uwanjani
akitafuta mpira wa kugusa. Walinzi hao wa kati wa Simba, walicheza
mchezo wa kutotanuka hovyo ili kuhakikisha washambulaji hao hawaleti
madhara kwa kipa, Ivo Mapunda. Wakati safu ya ulinzi ya Yanga,
ikiandaa mazingira ya kufungwa, kwa upande wa Simba walikuwa imara na
hawakuruhusu kufanya makosa yasiyo na ulazima. Waliziba mianya ya
viungo wa Yanga kuwapasia pasi, na wakawa katikati mbele ya kipa wao.
Siku nyingine tena ya kujaribu kila kitu, na mwishowe kukosa matokeo
bora. Didier Kavumbagu na Hamis Kiza walitumia muda mwingi wa dakika
45 walizokuwepo uwanjani katika ' mifuko' ya Owino na Musoti, na Okwi
aliyeingia dakika ya 46 alitumia robo saa ya kwanza kuzunguka uwanjani
akitafuta mpira wa kugusa. Walinzi hao wa kati wa Simba, walicheza
mchezo wa kutotanuka hovyo ili kuhakikisha washambulaji hao hawaleti
madhara kwa kipa, Ivo Mapunda. Wakati safu ya ulinzi ya Yanga,
ikiandaa mazingira ya kufungwa, kwa upande wa Simba walikuwa imara na
hawakuruhusu kufanya makosa yasiyo na ulazima. Waliziba mianya ya
viungo wa Yanga kuwapasia pasi, na wakawa katikati mbele ya kipa wao.
NADIR HAROUB ' CANNAVARRO'
Alikuwa mchezaji mzoefu zaidi uwanjani kwa upande wa Yanga, na katika
umri wa miaka yake 31 sasa, alitakiwa kuwa mtulivu na kiongozi wa
wenzake uwanjani, Nahodha huyo wa Yanga, hakuwa mtulivu na kumtuliza
Tambwe hasifunge mbele yake, alimruhusu mshambuliaji huyo kumuweka nje ya eneo lake na kufunga goli rahisi. Alishindwa kumtawala kwa kipindi
kirefu walipokuwa pamoja. Alionesha wasiwasi kipindi akiwa na mpira,
aliwaonesha washambuliaji wa Simba njia za kupita, na wala hakuwapa
wakati mgumu. Anatakiwa kutazama tena marudio ya dakika 135 ambazo
akiwa na Yondan wameruhusu mabao matano dhidi ya Simba. Ajifunze namna beki tano anavyotakiwa kucheza kutoka kwa Musoti ambaye alicheza vizuri katika mchezo wake wa kwanza tu akicheza na Owino.
Alikuwa mchezaji mzoefu zaidi uwanjani kwa upande wa Yanga, na katika
umri wa miaka yake 31 sasa, alitakiwa kuwa mtulivu na kiongozi wa
wenzake uwanjani, Nahodha huyo wa Yanga, hakuwa mtulivu na kumtuliza
Tambwe hasifunge mbele yake, alimruhusu mshambuliaji huyo kumuweka nje ya eneo lake na kufunga goli rahisi. Alishindwa kumtawala kwa kipindi
kirefu walipokuwa pamoja. Alionesha wasiwasi kipindi akiwa na mpira,
aliwaonesha washambuliaji wa Simba njia za kupita, na wala hakuwapa
wakati mgumu. Anatakiwa kutazama tena marudio ya dakika 135 ambazo
akiwa na Yondan wameruhusu mabao matano dhidi ya Simba. Ajifunze namna beki tano anavyotakiwa kucheza kutoka kwa Musoti ambaye alicheza vizuri katika mchezo wake wa kwanza tu akicheza na Owino.
MKASA WA BOSI
Wakati timu ikiwa nyuma kwa mabao 3-0, na muda ukizidi kuyoyoma,
mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji akaamua kuondoka zake
uwanjani, baadae wakafuata kina ' Mr. Kazi Nyingi', nao wakaondoka.
Ilikuwa ni ishara ya kushindwa kwa mara ya tatu mfululizo kuwafunga
walivyotarajia mahasimu wao ambao wamemaliza mchezo wa tatu wakienda kucheza na Yanga wakiwa katika ' umbo baya'. Tangu kuahirishwa kwa mchezo huo, ambao tarehe ya awali ilikuwa 14, Simba walijihimarisha zaidi kiuchezaji, na Yanga wakawa wanafanya usajili na kutegemea kushinda. Hali ilikuwa tofauti na matarajio yao, kocha analazimishwa kuwapanga baadhi ya wachezaji, huku akiwa hovyo kudai mahitaji mahitaji muhimu ya timu.
Wakati timu ikiwa nyuma kwa mabao 3-0, na muda ukizidi kuyoyoma,
mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji akaamua kuondoka zake
uwanjani, baadae wakafuata kina ' Mr. Kazi Nyingi', nao wakaondoka.
Ilikuwa ni ishara ya kushindwa kwa mara ya tatu mfululizo kuwafunga
walivyotarajia mahasimu wao ambao wamemaliza mchezo wa tatu wakienda kucheza na Yanga wakiwa katika ' umbo baya'. Tangu kuahirishwa kwa mchezo huo, ambao tarehe ya awali ilikuwa 14, Simba walijihimarisha zaidi kiuchezaji, na Yanga wakawa wanafanya usajili na kutegemea kushinda. Hali ilikuwa tofauti na matarajio yao, kocha analazimishwa kuwapanga baadhi ya wachezaji, huku akiwa hovyo kudai mahitaji mahitaji muhimu ya timu.
BRANDTS...
Inasemekana
aliwaambia wazi kamati ya usajili kuwa wanamleta Kaseja, ila hakuwa ni
chaguo sahihi kwa kuwa tayari alikuwa nao, Ally Mustapha na Deogratius
Munish ' Dida', pia akawaambia wanamletea Okwi, ila hajui ni wapi
atamchezesha zaidi ya kuvuruga mipango yake. Sasa, yupo hatarini
kuondoka. Ushindi wa mechi moja, sare mbili na kufungwa moja dhidi ya
Simba unamuondoa Yanga?
David Luhende alipangwa sehemu ya ulinzi wa kushoto kwa upande wa
Yanga, na Singano akapangwa upande wa kulia kama kiungo mshambuliaji
wa Simba. Mchezo ulikuwa hapa, Luhende mzito, Singano mwepesi, Luhende hanyumbuliki, Singano ananyumbulika, Luhende hana kasi, Singano ana kasi, Luhende hakuwa mjanja, Singano akawa mjanja kama Sungura. Akamshindwa ' dogo', mara akaongezeka, Kelvin. Pamoja na umwamba wake, alimkoma dogo huyu, Kelvin anakwenda spidi, Singano akawa anafanya mbinu zake, mara chenga, anaanza kuunga tera, utamkuta Singano?. Akaona mvute jezi tu, kuliko fedheha kama ya kipindi kile kutoka kwa Ngassa. Poleni, Luhende n Yondan, mlikutana na ' fotokopi' ya Leonel Messi. Nani alikuwa mchezaji bora wa mechi kati ya Singano aliyetumia dakika zisizozidi 70, na Mkude aliyecheza dakika zote 90?. Mchezaji bora ni Logarusic.
0714 08 43 08
Subscribe to:
Posts (Atom)
Ndugu na
Marafiki wa Miss tanzania 2013 waliomsindikaza Happiness Watimanywa
Alipotembelea kituo cha watoto yatima cha mjini Morogoro..
JAMES KISAKA AFARIKI DUNIA, MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMINA.
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha
aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57) kilichotokea leo
asubuhi (Desemba 25 mwaka huu) katika Hospitali ya Burhani, Dar es
Salaam.
Msiba
huo ni mkubwa katika familia ya mpira wa miguu kwani Kisaka kabla ya
kuwa kocha alikuwa mchezaji katika nafasi ya kipa. Mbali ya Simba, timu
nyingine alizowahi kudakia ni Ndovu ya Arusha, Volcano ya Kenya na Small
Simba ya Zanzibar.
Akiwa
mwanafunzi Shule ya Sekondari Tambaza jijini Dar es Salaam aliwahi
kuchezea timu za Oysterbay Stars, Eleven Stars ya Msasani, Sigara wakati
ikicheza Ligi ya Temeke na Nyota Nyekundu kabla ya kutua Simba.
Pia
alikuwemo kwenye timu ya Taifa ya vijana iliyokwenda Zimbabwe kwenye
sherehe za uhuru wan chi hiyo mwaka 1980. Vilevile alikuwa mmoja wa
wachezaji waliounda kombaini ya Tanzania ya UMISSETA akiwa na akina Said
George, Nico Njohole, George Kulagwa na wengine. Hivyo mchango wake
katika mchezo huu tutaukumbuka daima.
Kwa
mujibu wa kaka wa marehemu, Benny Kisaka, James alikuwa akisumbuliwa na
ugonjwa wa miguu kufa ganzi na matatizo ya kutoona vizuri.
Msiba uko nyumbani kwake Mbezi Mwisho (Kwa Yusuf), na anatarajia kuzikwa nyumbani kwao Kijiji cha Lusanga, Muheza mkoani Tanga.
TFF
tunatoa pole kwa familia ya marehemu Kisaka, klabu ya Simba na Chama
cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) na kuwataka kuwa na
subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha msiba huo mzito.
Marehemu Kisaka ameacha mjane na watoto wanne. Bwana alitoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe.
Boniface Wambura Mgoyo
Kaimu Katibu Mkuu
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Tuesday, December 24, 2013
MOHAMED MATUMLA NASIBU RAMADHANI KUMARIZA UBISHA CHRXMAS
Bondia
Mohamed Matumla kushoto na Nassibu Ramadhani wakitunishiana misuli
baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao leo katika
ukumbi wa friends corner hotel manzese Dar es salaam leo katikati ni promota wa mpambano huo kaike siraju Picha na www.superdboxingcoach.
|
| Promota
kaike Siraju akiwainua juu mikono Bondia Mohamed Matumla kushoto na
Nassibu Ramadhani kwa ajili ya mpambano wao wa kugombea pikipiki siku ya
sikukuu ya Xmasi Picha na www.superdboxingcoach. |

MCHEZAJI WA BORA WA LIGI YA BRAZIL - EVERTON RIBEIRO ASEMA ATAICHAGUA MAN UNITED MBELE YA REAL MADRID
Kiungo wa kibrazil Everton Ribeiro kwa mara nyingine ameelezea matamanio ya kujiunga na klabu ya Manchester United.
United iliwatuma maskauti wake wa vipaji kwenda nchini Brazil kumuangalia staa huyo wa timu ya Cruzeiro na kocha David Moyes anafikiria kutuma ofa rasmi ya £12million ili kukamilisha usajili wa kiungo huyo, ambaye mwezi uliopita alishinda tuzo ya kuwa mwanasoka bora wa ligi ya Brazil.
Hata hiyo, United watakabiliana na upinzani kutka kwa Liverpool na Real Madrid ambao nao wamevutiwa na mchezaji huyo.
Ribeiro ambaye huko nyuma aliwahi kucheza katika mashindano ya vijana na United alipoulizwa na Globoesporte kama angependelea kujiunga na United badala ya Madrid, kiungo huyo mwenye miaka 24 alisema: ‘Ndio, ningependea kucheza United, mfumo ambao United wanaendesha timu ni bora kabisa duniani. Nimewahi kuwepo mahala pale na pia nilienda kupata mafunzo kutoka Alex Ferguson nilipokuwa kinda. ’
Wakala wa mchezaji huyo Robson Ferreira hivi karibuni alinukuliwa akisema: Manchester United wanamtaka Ribeiro, David Moyes amevutiwa sana. Nilishaenda England na nikaongea rasmi na United.’
United iliwatuma maskauti wake wa vipaji kwenda nchini Brazil kumuangalia staa huyo wa timu ya Cruzeiro na kocha David Moyes anafikiria kutuma ofa rasmi ya £12million ili kukamilisha usajili wa kiungo huyo, ambaye mwezi uliopita alishinda tuzo ya kuwa mwanasoka bora wa ligi ya Brazil.
Hata hiyo, United watakabiliana na upinzani kutka kwa Liverpool na Real Madrid ambao nao wamevutiwa na mchezaji huyo.
Ribeiro ambaye huko nyuma aliwahi kucheza katika mashindano ya vijana na United alipoulizwa na Globoesporte kama angependelea kujiunga na United badala ya Madrid, kiungo huyo mwenye miaka 24 alisema: ‘Ndio, ningependea kucheza United, mfumo ambao United wanaendesha timu ni bora kabisa duniani. Nimewahi kuwepo mahala pale na pia nilienda kupata mafunzo kutoka Alex Ferguson nilipokuwa kinda. ’
Wakala wa mchezaji huyo Robson Ferreira hivi karibuni alinukuliwa akisema: Manchester United wanamtaka Ribeiro, David Moyes amevutiwa sana. Nilishaenda England na nikaongea rasmi na United.’
FALCAO: RONALDO NI MCHEZAJI BORA ZAIDI YA LIONEL MESSI
Mshambuliaji wa Monaco Radamel Falcao anaamini kwamba mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ni mchezaji mzuri kuliko staa wa klabu ya Barcelona Lionel Messi.
Mchezaji huyo wa Colombia anawakubali wachezaji wote wawili, ingawa Falcao anaamini Cristiano ni bora zaidi ya Messi.
"Messi na Cristiano ni wachezaji muhimu na wakubwa duniani leo hii lakini, kwangu mimi naamini Ronaldo ni bora zaidi," alisema mchezaji huyo mwenye miaka 27 alipoongea na El Tiempo.
Falcao pia amesema ni Cristiano Ronaldo anayestahili kuwa mchezaji bora wa dunia katika tuzo za Ballon D'or zitakazotolewa mwezi ujao ambapo Ronaldo anapambana na Ribery pamoja na Messi.
Mchezaji huyo wa Colombia anawakubali wachezaji wote wawili, ingawa Falcao anaamini Cristiano ni bora zaidi ya Messi.
"Messi na Cristiano ni wachezaji muhimu na wakubwa duniani leo hii lakini, kwangu mimi naamini Ronaldo ni bora zaidi," alisema mchezaji huyo mwenye miaka 27 alipoongea na El Tiempo.
Falcao pia amesema ni Cristiano Ronaldo anayestahili kuwa mchezaji bora wa dunia katika tuzo za Ballon D'or zitakazotolewa mwezi ujao ambapo Ronaldo anapambana na Ribery pamoja na Messi.
EDIBILY LUNYAMILA APATA NAFUU,
Hali ya winga wa zamani Edibily
Lunyamila inaendelea vizuri,leo hii asubuhi mwandishi amepita kwenye
hospitali ya Mwananyamala na kukuta Jopo la madaktari saba akiwemo
Daktari bingwa wa tiba za michezo,Dr Mwankemwa wakimshughulikia vizuri
mgonjwa huyo.
Pia leo asubuhi wachezaji kadhaa wa zamani kama vile Silvatus Ibrahim,Mohamed Hussein na Vincet Peter walipita kumjulia hali mwenzao,Hapo jana uongozi wa Klabu ya YANGA ulifika hospitalini pale ukiongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya mashindano Abdallah Bin Kleb,Nahodha wa zamani Ally Mayai na walipanga asubuhi ya leo wamwamishie kwenye hospitali ya Muhimbili,aliyepewa jukumu hilo alikuwa ni mjumbe wa kamati ya utendaji ndugu Mohammed Binda.
'' Jana viongozi wa Yanga tulikubaliana leo tumwamishie hospitali ya Muhimbili lakini tulipofika leo asubuhi madaktari wa hospitali ya Mwananyamala walitusihi tumwache kwanza kwani walikuwa tayari wanamshughulikia,kutokana na huduma nzuri aliyokuwa anapewa na madaktari wa hapa tumeonelea tumwache kwanza'' alinukuliwa Binda akielezea hali ya mgonjwa.
Pia leo asubuhi wachezaji kadhaa wa zamani kama vile Silvatus Ibrahim,Mohamed Hussein na Vincet Peter walipita kumjulia hali mwenzao,Hapo jana uongozi wa Klabu ya YANGA ulifika hospitalini pale ukiongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya mashindano Abdallah Bin Kleb,Nahodha wa zamani Ally Mayai na walipanga asubuhi ya leo wamwamishie kwenye hospitali ya Muhimbili,aliyepewa jukumu hilo alikuwa ni mjumbe wa kamati ya utendaji ndugu Mohammed Binda.
'' Jana viongozi wa Yanga tulikubaliana leo tumwamishie hospitali ya Muhimbili lakini tulipofika leo asubuhi madaktari wa hospitali ya Mwananyamala walitusihi tumwache kwanza kwani walikuwa tayari wanamshughulikia,kutokana na huduma nzuri aliyokuwa anapewa na madaktari wa hapa tumeonelea tumwache kwanza'' alinukuliwa Binda akielezea hali ya mgonjwa.
KATIBU MKUU WA SIMBA AACHIA NGAZI AULA TFF - MWESIGA WA YANGA NAE KUMRITHI ANGETILE
KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imekutana wikiendi iliyopita na kufikia uamuzi wa kuwapa ajira aliyekuwa katibu wa Yanga, Selestine Mwesigwa na wa Simba, Evodius Mtawala.
Mwesigwa atafanya kazi hiyo chini ya uangalizi kwa kipindi cha miezi sita na endapo TFF atamudu nafasi hiyo atapewa muda zaidi, lakini kama atashindwa basi ajira yake itasitishwa mara moja.
Wakati Mwesigwa akiinasa ajira hiyo aliyoshindania vikali na Michael Wambura, mwenzake wa Simba, Mtawala ameula kwenye Mkurugenzi wa Sheria na Masuala ya Utawala ambayo ni nafasi mpya katika shirikisho hilo.
Kufuatia uteuzi huo ni wazi Mtawala atalazimika kuachia ngazi katika nafasi yake ya ukatibu kwenye klabu ya Simba, huku taarifa zilizoifikia Mwanaspoti usiku wa jana Jumatatu, Mtawala ameihakikishia TFF kwamba tayari ameshawasilisha barua yake ya kuacha kazi kwenye klabu ya Simba.
Mwesigwa na Mtawala watatangwa rasmi leo Jumanne na Rais wa TFF, Jamal Malinzi.
Monday, December 23, 2013
HII NDIO TAARIFA RASMI YA KUFUKUZWA KOCHA WA YANGA ERNST BRANDTS
Uongozi
wa klabu ya Young Africans SC umempatia taarifa (Notice) ya siku ya
thelathini (30) kocha mkuu mholanzi Ernie Brandts juu ya kusitisha
mkataba wake kuanzia jana Disemba 22 mwaka huu.
Maamuzi
hayo yanafuatia muenendo wa matokeo mabaya katika michezo iliyopita ya
Ligi Kuu, kirafiki na bonanza la Nani Mtani Jembe dhidi ya Simba SC
mwishoni mwa wiki.
Hatua
ya Young Africans SC kusitisha huduma na Brandts isichukuliwe kama
chuki bali ni moja ya sehemu ya kuhakikisha tunaboresha benchi la ufundi
ili tuweze kupata matokeo mazuri katika Mashindano yanayotukabili.
Ukitazama
uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wa Yanga SC na wapinzani wetu, na soka
tulilocheza kwenye mchezo wa mwishoni mwa wiki kwa kweli ni dhahiri
mwalimu amefikia mwisho kimbinu na hana njia mbadala.
Young
Africans SC imekua ikicheza chini ya kiwango katika michezo ya Ligi Kuu
hali iliyoplekea kupata ushindi kwa tabu na wakati mwingine timu
kupoteza pointi.
Kufuatia
kupewa taarifa ya siku 30, Brandts ataamua mwenyewe kama ataendelea
kusimamia mazoezi ya timu au kuondoka moja kwa moja kabla ya muda huo
ukiwa haujakamilika.
Ikiwa
Brandts ataondoka mapema timu itaendelea na mazoezi kama kawaida katika
kila siku asubuhi katika uwanja wa bora kijitonyama kujiandaa na
mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya kimataifa chini ya kocha
msaidizi Fred Felix “Minziro”.
Ili
kuhakikisha timu inafanya vizuri katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya
Vodacom na mashindano ya kimataifa uongozi unakamilisha maandalizi ya
safari ya kambi nje ya nchi na taratibu zote zitakapokamilika
tutawajulisha.
Aidha
uongozi upo katika mchakato wa kumapata mrithi wa Brandts ambaye
ataungana na timu kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili na
Mashindano ya klabu Bingwa Afrika.
Mwisho
tunawaomba wanachama, wapenzi na washabiki wa Yanga wasivunjike moyo
kufuatia matokeo ya bonanza mwishoni mwa wiki, uongozi unajipanga
kuhakikisha timu inaimarika kwenye benchi la ufundi na kurudisha furaha
katika mzunguko wa pili wa VPL.
Abdallah Bin Kleb
Mwenyekiti - Kamati ya Mashindano
Young Africans Sports Club.
DAR ES SALAAM
23 Disemba, 2013
BREAKING NEWS…..! HALI NI MBAYA…! LUNYAMILA ANAPUMULIA MASHINE HOSPITALI YA MWANANYAMALA.
WINGA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila leo hii asubuhi amekimbizwa katika hospitali ya Mwananyamala baada ya kusumbuliwa na kifua na sasa anapumua kwa msaada wa mashine.
Mtandao huu ulifanikiwa kufika hospitalini hapo muda mfupi baada ya winga huyo kukimbizwa hospitalini hapo baada ya kuzidiwa tangu jana usiku akiwa nyumbani kwake Mbezi jijini Dar es Salaam.
Shaffihdauda.com imemshuhudia Lunyamila akiwa amelala kitandani katika wodi ya wanaume namba namba 5 kitanda namba 16 katika hospitali hiyo ya rufaa ya Kinondoni.

Daktari Madirisha Pascal anayemuhudumia winga huyo wa zamani, Lunyamila anasumbuliwa na tatizo la kifua ambalo linamfanya ashindwe kupumua vizuri.
“Kama mnavyomuona anapumua kwa msaada wa mashine na bado tunaendelea kumfanyia uchunguzi ili kubaini nini kinachomsumbua zaidi,” alisema Pascal.
Mmoja wa ndugu wa Lunyamila, Lameck John alisema kwamba, mchezaji huyo wa zamani alianza kujisikia vibaya jana Jumapili na leo asubuhi hali yake ilibadilika ndipo walipomkimbiza hospitali.

Lunyamila alivyokuwa enzi anaichezea Yanga..
“Alianza kulalamika hawezi kupumua na kifua kinamsumbua pia mbavu zilikuwa zikimuuma, baada ya majibu ya vipimo tutajua kinachomsumbua zaidi,” alisema Lameck.
Kutokana na hali iliyoonekana hospitalini hapo, Lunyamila anahitaji huduma ya haraka ili kuweza kuokoa uhai wake kwani anapumulia mashine akiwa katika sehemu yenye joto kali hivyo anapambana na vitu vingi kwa wakati mmoja...
Taarifa za kiuchunguzi zilizofanywa na mwandishi wetu zimebaini Lunyamila anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
''Nilikuja jana hospitali ya mwananyaala ikagundulika moyo wangu umekuwa mkubwa,hivi sasa naenda muhimbili kwa ajili ya vipimo zaidi nikifika na kukutana na daktari nitakujulisha ''
ilipofika mchana wa leo mwandishi alipokea simu kutoka kwa Lunyamila akimwambia ameambiwa arejee tena hospitali ya Mwananyamala.
KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K,O RAUNDI YA 4
| Bondia Japhert Kaseba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es salaam Kaseba alishinda kwa KO ya raundi ya nne ya mpambano huo Picha na superdboxingcoach.blogspot.com |
| Kanda kabongo akimuhuumia Japhert Kaseba |
| Bondia Omari Nampekecha 'peche boy' kushoto akipambana na hasani Kiware wakati wa mpambano huo nampekecha alishinda kwa pointi picha na superdboxingcoach.blogspot.com |
| Kaseba akiwa na familia yake pamoja na mashabiki baada ya kushinda mchezo wake |
Bondia Pendo Njau kushoto akiwa na bondia Llulu Kayage wakati wa mpambano huo
| mashabiki wakiangalia mpambano |
| Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point picha n |
| Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point picha na |

Written by admin
![]()
Cras sed felis et risus mattis condimentum. Maecenas ut lacus vel nibh iaculis commodo. Pellentesque vel sapien eu dui suscipit sodales vestibulum id erat.












0 maoni: