CHELSEA

Leo ilikua Siku mbaya kwachelsea ambapo ikubali kulazmishwa sare  ikiwa nyumabani kwao  Chelsea ndio ilianza kudnga goli katka dakika 45 zakwanza  hadi mapumziko  Chelsea 1-0 west broom  kipindi chapili kilianza kwat zote kuche za vzuri lakini west brm  ilfanya mashbulizi yakushtukiza naikapata bao  ikawa  1-1 west BRM waliendelea kulindama  lango LA Chelsea na wakapata bao LA pili       ikawa 1 -2 had I dkka 90 zikalizka Chelsea ilisawazisha dakika 93 kupitia mkwaju wa penalty iliopigwa na  hazard hivyo mchezo ukamalizika 2-2



Written by

0 maoni: