AKUTWA NA KIUNGO CHABINADAM

Nitaarifa zakuskitisha  katika jamii nakatika nchi ya amani kama Tanzania  inayosifiwa kwa upendo mshikamano kuona watu wanawauwa wenzao tena walemavu au kuwajeruhi nakuwaongezea ulema  

Uchunguzi unaendelea ilikupata maelezo zaidi

Serikali  inashauri kilamtu Kuwait mlinzi wamwenzake  nakutoa taarifa sehem huska  bilakujali anaefanya vitendo hi yo ninani nibaada ya MTU mmoja kukutwa nakiungo chabinadam porini akidaiwa kuwa mshirikina



Written by

0 maoni: